ANNOUNCEMENTS

Wanafunzi wa Awamu ya Pili Kozi ya HGV na PSV wa Chuo Cha Mafunzo ya Udereva Brilliant wakifanya Mtihani wa Vitendo.

Published: Oct 26, 2025 • Views: 1

Wanafunzi wa Awamu ya Pili  Kozi ya HGV na PSV wa Chuo Cha Mafunzo ya Udereva Brilliant  wakifanya Mtihani wa Vitendo.


  • Mtihani wao wa vitendo ulisimamiwa na  Af. Vehicle Mathias Mhando wa ofisi za Trafiki Mkoa wa Arusha . Ambapo zaidi ya Madereva  130  walitahiniwa.
  • Ili kujiunga na Kozi yetu uhahitajika kutimiza mahitaji yafuatayo:
  1. Leseni yenye Daraja D lenye uzoefu wa miaka mitatu(3) au Leseni yenye Daraja C ama E.
  2. Picha ya Passport moja.
  3. Kulipa wala Laki moja kwajili ya kuanza Mafunzo.
Chat with us