ANNOUNCEMENTS

Wanafunzi wa Awamu ya Tatu(3) Kozi ya HGV na PSV wa Chuo Cha Mafunzo ya Udereva Brilliant wakifanya Mtihani wa Vitendo.

Published: Nov 23, 2025 • Views: 33

Wanafunzi wa Awamu ya Tatu(3)  Kozi ya HGV na PSV wa Chuo Cha Mafunzo ya Udereva Brilliant  wakifanya Mtihani wa Vitendo.

Ni baada ya kumaliza mafunzo yao kozi ya HGV na PSV darasani  ambayo yalifanyika kuanzia tarehe 27 Octoba 2025 hadi Tarehe 21 Novemba 2025, Na kufanya mtihani wa Nadharia Tarehe 22 Novemba 2025. 

Mtihani wao wa vitendo ulisimamiwa na  Af. Vehicle Mathias Mhando wa ofisi za Trafiki Mkoa wa Arusha . Ambapo zaidi ya Madereva  130  walitahiniwa.

Chat with us