ANNOUNCEMENTS

Wanafunzi wa kozi ya Udereva wa Awali (Basic Driving Course) Wakisoma Somo la Ukaguzi.

Published: Nov 19, 2025 • Views: 25

Wanafunzi wa kozi ya Udereva wa Awali (Basic Driving Course) Wakisoma  Somo la Ukaguzi.

somo hili lilifundishwa na mwalimu Josephat Kimaro , Mkufunzi mbobezi katika vifaa vya ndani vya magari.

Baadhi ya Umuhimu wa somo la Ukaguzi wa Gari ni kama ifuatavyo:

  1. husaidia kupunguza ajali zinazoweza kuepukika.
  2. Humsaidia Dereva kulifahamu vyema Gari lake.
  3. Husaidia kulitunza gari.


Chat with us